CPJ: Waandishi wa Kipalestina wanateswa magerezani Israel

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 21:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa ya shirika hilo lenye makao yake makuu jijini New York imesema kati ya waandishi 59 waliohojiwa, wote isipokuwa mmoja walisema walifanyiwa kile walichoelezea kuwa ni mateso, unyanyasaji au aina nyingine ya ukiukaji. Mkurugenzi wa CPJ Jodie Ginsberg ameihimiza jumuiya ya kimataifa "kuchukua hatua" kuhusu ripoti hizo za unyanyasaji.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]