Rais wa zamani wa Korea Kusini Suk Yeol afungwa maisha

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 21:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, South Korea, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu rais wa zamani, Yoon Suk Yeol, kifungo cha maisha jela kwa kosa la kuongoza uasi kufuatia tangazo lake la kushtukiza la sheria ya kijeshi Desemba 3, 2024, tukio lililosababisha mgogoro mkubwa zaidi wa kikatiba kuwahi kushuhudiwa nchini humo katika miongo kadhaa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]