Modi aitangaza India kama kitovu cha Akili Mnemba duniani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-20 02:38 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Technology & AI, India, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Modi ameyasema kwenye mkutano uliowakusanya baadhi ya viongozi wa dunia, wakuu wa makampuni ya teknolojia na watunga sera katika Mkutano wa Kimataifa wa Akili Mnemba mjini New Delhi. "India inaamini kwamba teknolojia ya akili mnemba itakuwa na manufaa tu wakati inaposambazwa na mifumo yake ya msingi ikiwa wazi; hapo ndipo mamilioni ya vijana wetu wataweza kuifanya iwe bora na salama zaidi."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]