CCM, ACT hazijaafikiana kuhusu serikali ya Umoja wa Kitaifa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-20 03:04 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na DW Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Idara ya Itikadi na Uenezi, Khamis Mbeto Khamis alisema chama chake kimepokea taarifa ya maridhiano ya pande mbili hizo na kuyaridhia kwa hatua ya kwanza na baadae yatawasilishwa kwa kamati kuu ya taifa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]