UN: Wanamgambo wa RSF walifanya mauaji ya kimbari el-Fasher

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-20 13:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mpango maalum wa kutafuta ukweli wa Umoja wa Mataifa umesema kuwa wanamgambo wa RSF ambao wanapambana na jeshi la Sudan, walifanya mauaji ya halaiki na ukatili mwengine katika mji wa el-Fasher baada ya uvamizi wa miezi 18.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]