UN: vitendo vya RSF el-Fasher vyaashiria mauaji ya halaiki

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-20 21:34 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Taarifa iliyotolewa jana na ujumbe huru uliopewa jukumu la kutafuta ukweli katika mzozo wa Sudan, umesema kuwa wanamgambo wa RSF walifanya mauaji ya halaiki na ukatili mwingine katika mji wa el-Fasher baada ya kuuzingira kwa miezi 18 ambapo waliweka masharti "yaliyokusudiwa kusababisha maafa makubwa" kwa jamii zisizo za Kiarabu, hasa zile za Zaghawa na Fur.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]