Iran: Hakuna nchi inayoweza kutunyima haki yetu ya nyuklia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 23:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Eslami amesema msingi wa sekta ya matumizi ya nguvu za nyuklia ni urutibushaji wa madini ya urani, akiongeza kuwa mpango wa nyuklia wa Iran unaendana na kanuni za shirika la kudhibiti nguvu za atomiki duniani IAEA.
--------------------------------------------------------------------