Urusi yakana kuwasajili wapiganaji kutoka Afrika

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-21 01:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Immigration, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa yake iliyochapishwa kwenye ukarasa wa kijamii wa X,Ubalozi wa Urusi nchini Kenya umejitenga na madai ya kuwapa wakenya visa vya kusafiri ili kujiunga na vikosi vyake vya ulinzi. Taarifa hiyo aidha imetaja ripoti hizo kama propaganda ambazo zimekuwa zikisambazwa nchini humo.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]