WFP kusitisha msaada wa chakula nchini Somalia

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-21 02:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
WFP imesema hatua hiyo itawaweka mamilioni ya watu nchini Somalia katika hatari kubwa ya kukabiliwa na njaa. Shirika hilo la Umoja wa Mataifa lenye makao yake makuu mjini Roma limesema tayari limelazimika kupunguza idadi ya watu wanaopokea msaada wa dharura wa chakula kutoka milioni 2.2 mwanzoni mwa mwaka huu wa 2025 hadi kufikia watu 600,000.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]