Italia yatakiwa kutambua wahamiaji waliokufa baharini

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-21 22:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika taarifa, mashirika hayo ya Memoria Mediterranea, Muungano wa Mafunzo ya Kisheria juu ya Uhamiaji (ASGI) na lile la Mediterranea Saving Humans kwa ushirikiano na Shirika la Ulaya la Alarm Phone ambalo hupokea miito ya usaidizi kutoka kwa wahamiaji baharini, yamesema mamia ya watu waliondoka kutoka mji wa mashariki wa Tunisia wa Sfax mwezi Januari, wengi wao kati ya Januari 14 na 21 wakati kimbunga hicho kilipopiga katikati mwa Mediterenia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]