WHO yatoa takwimu za mashambulizi ya vituo vya afya Sudan
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-22 02:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika chapisho kwenye mtandao wa kijamii wa X, mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema katika siku 50 za kwanza za mwaka huu wa 2026, mashambulizi matano dhidi ya vituo vya afya tayari yalikuwa yamerekodiwa nchini Sudan, ambayo yaliwauwa watu 69 na kujeruhi wengine 49.
--------------------------------------------------------------------