Mazungumzo ya Iran na Marekani kuendelea licha ya hofu

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 14:57 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, World News
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hii ni licha ya Marekani kupeleka manowari zake na ndege za kivita katika Mashariki ya Kati. Akizungumza na televisheni ya Marekani ya CBS News, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema maelezo ya uwezekano wa makubaliano yanaandaliwa kabla ya mazungumzo mapya kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]