Mbabe wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini Mexico auawa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 15:16 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Mexico
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Jeshi limesema Nemesio Oseguera, kiongozi mwenye umri wa miaka 59 wa mtandao wa Jalisco New Generation, alijeruhiwa katika mapigano na wanajeshi katika mji wa Tapalpa na kufariki alipokuwa akisafirishwa hadi Mexico City. Mamlaka zilikuwa zimetangaza zawadi ya dola milioni 15 za Marekani kwa yeyote mwenye taarifa za aliko. Watu wenye silaha waliokuwa wakilipiza kisasi kwa uvamizi huo walifunga zaidi ya barabara 20 katika jimbo la magharibi la Jalisco, unakopatikana mji wa Tapalpa, kwa magari na malori yaliyochomwa moto.
--------------------------------------------------------------------