ICC kuanza kusikiliza kesi ya awali ya Duterte wa Ufilipino
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 15:21 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Philippines, International Orgs
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kikao hicho cha "uthibitisho wa mashtaka", kinachofanyika kwa siku nne, kitaamua kama kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya Duterte kuendelea na kesi. Rais huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 80 hatakuwepo katika kikao cha mahakama huko The Hague baada ya mahakama kukubali ombi la utetezi la kuondoa haki yake ya kuhudhuria, licha ya majaji kuamua kwamba alikuwa anafaa kushiriki.
--------------------------------------------------------------------