Iran yasema itakutana na Marekani jijini Geneva Alhamisi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 15:41 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, World News
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza na televisheni ya Marekani ya CBS News, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema maelezo ya uwezekano wa makubaliano yanaandaliwa kabla ya mazungumzo mapya kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran. "Ikiwa wanataka kupata suluhu kwa ajili ya mpango wa nyuklia wa amani wa Iran, njia pekee ni diplomasia.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]