Sudan yaikosoa Uganda kwa kumkaribisha mkuu wa RSF Daglo
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 15:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Imeyakosoa mapokezi aliyopewa na rais wa Uganda na kuyaita "dharau kwa ubinadamu". Hemeti siku ya Ijumaa alikutana na Rais wa Uganda Yoweri Museveni katika Ikulu ya Entebbe, siku moja baada ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kugundua kuwa vikosi vyake vilifanya vitendo vya mauaji ya halaiki huko Darfur.
--------------------------------------------------------------------