Hali ya usalama Goma inazidi kuwa mbaya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-23 22:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Eneo la Rubaya na maeneo yanayozunguka eneo hilo, hali ya taharuki inaendelea kutanda hii leo Jumatatu. Tangu jana, mapigano yanaendelea kati ya wapiganaji wa kundi la Wazalendo na vikosi vya AFC/M23 katika vijiji kadhaa vya Katoyi, mahala ilipo hospitali kuu inayotoa huduma muhimu za afya, hasa Luke, Kasenyi na Kinigi.
--------------------------------------------------------------------