Tigray iko hatarini kukabiliwa na mgogoro mpya

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-24 00:40 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Gebreegziabher Berehe ameacha kuwangojea watalii kuwasili kwani wengi wanahofia kuanza tena upya. Muongoza wageni huyo wa Tigray anasema idadi ya watalii wanaotaka huduma yake imeshuka, mashine za kutolea pesa mjini Mekele, mji mkuu wa mkoa huo, ni tupu, naye anafikiria kuihama nchi ambayo hawezi tena kumudu maisha yake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]