UN yathibitisha mauaji Kabul baada ya Pakistan kushambulia

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-24 02:54 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
UNAMA imesema mashambulizi yaliyofaynya usiku wa kuamkia leo yameyalenga maeneo manne katika mikoa ya Nangarhar na Paktika. Huko Nangarhar, tawimu za awali zinaonyesha kuwa raia 13 waliuwawa huku wengine 7 wakijeruhiwa. Idadi iliyokusanywa na mashirika ya ndani Afghanistan, yaliwekaidadi ya waliouwawa kuwa 18. Kulingana na masemaji wa polisi wa Nangarhar, miili mitano bado imekwama chini ya vifusi vya majengo yaliyoporomoka.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]