Iran yatishia kujibu vikali mashambulizi yoyote ya Marekani

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-24 03:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mapema Jumatatu, wizara ya mambo ya nje ya Iran ilirudia tena kusema shambulizi lolote, hata likiwa dogo kiasi gani linaweza kuchukuliwa kama kitendo cha uvamizi na si vinginevyo. Msemaji wa wizara hiyo Esmaeli Baqaei amesema alipozungumza na waandishi wa habari kwamba kama ilivyo kwa taifa jingine, Iran nayo itajibu vikali kitendo cha uchokozi kama sehemu ya haki yake ya kujilinda.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]