Ukraine yafanya kumbukumbu ya miaka 4 ya vita vya Urusi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-24 21:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Zelensky, aliyetarajiwa kuwapokea wageni waalikwa kutoka Ulaya ya Magharibi, akiwemo Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, mjini Kiev siku ya Jumanne (Februari 24), alisema kwenye hotuba yake ya asubuhi kwa taifa kwamba Rais Vladimir Putin wa Urusi bado hajafanikiwa kutimiza malengo yake licha ya miaka minne ya mashambulizi makali dhidi ya nchi yake.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]